No media source currently available
Tukieleka huko DRC polisi kwa mara nyingine imewakamata vijana wa kundi la Lucha Africa na kuwatawanya wengi miongoni mwao hasa wasichana walio kuwa wakiandamana Mjini Goma hadi Tume huru ya uchaguzi, kuomba vitambulisho vya kupigia kura.