Kenyatta ameanza rasmi ziara ya siku mbili katika jimbo la Kisumu
Rais Uhuru Kenyatta ameanza rasmi ziara ya siku mbili katika jimbo la Kisumu, Hii ni ziara yake ya kwanza katika ngome ya kiongozi wa Upinzani nchini Kenya Raila Odinga tangu walipotatua tofauti zao za kisiasa miezi tisa iliyopita kupitia kitendo maarufu kinachojulikana kama the hand shake.
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum