Duniani Leo December 5, 2018
Mazishi ya kitaifa ya aliyekuwa rais wa 41 wa Marekani George H.W. Bush yafanyika katika jiji kuu la Marekani Washington D.C kabla ya mwili wake kusafirishwa kwa maziko yatakayofanika kesho katika jimbo la Texas. Inaelezwa kuwa wanawake ndio wamekuwa waathirika wakuu wa ungojwa wa Ebola.
Matukio
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
-
Desemba 11, 2020
Rais Mteule wa Marekani Joe Biden amtangaza waziri wa ulinzi
Facebook Forum