Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 03:21

Washona wa Kenya waomba kutambuliwa kama wazawa


Washona wa Kenya waomba kutambuliwa kama wazawa
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:41 0:00

Kwa zaidi ya miongo sita sasa watu 4,000 wa jamii ya Shona kutoka mataifa ya Zambia na Zimbabwe wamekuwa wakiishi nchini Kenya bila vibali na vitambulisho baada ya wazazi wao kusafiri hadi kenya kabla ya kenya kupata uhuru wake ilikuhubiri injili.

XS
SM
MD
LG