Sheria ya Kenya inaruhusu wanafunzi barani Afrika Mashiriki kufanya mitihani nchini mwao
Afisa mkuu mtendaji wa baraza la wanasheria nchini kenya anasema japo kesi ya wanafunzi watatu waliyokua raia wa Sudan kusini hawawezi kufanya mtihani iko mahakamani na wanafunzi hao waliruhusiwa kufanya mtihani ambao umeanza leo, Sheria ya elimu ya wanasheria nchini kifungu cha 12 kinasema elimu ya juu inawatambua tuu wanafunzi ambao wako katika jumuia ya Afrika Mashariki
Matukio
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
-
Desemba 12, 2020
Wakimbizi waongezeka katika mji wa Pemba kaskazini mwa Msumbiji
Facebook Forum