Mtengenezaji filamu Tyler Perry anasheherekea miaka 25 katika biashara ya burudani
Kanye West amesema kwamba amekuwa akitumiwa kwenye siasa, Michelle Obama amepanga kumualika Oprah Winfrey na Reese Witherspoon kwenye ziara ya uzinduzi wa kitabu chake, na Tamasha la kila mwaka la mavazi na biashara lijulikanalo Paris Chocolate Fair limeanza jana huko Ufaransa likiwashirikisha washiriki 500 kutoka takribani nchi 60.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.