Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Mei 08, 2024 Local time: 18:33

Gianni Infantino amewasili mjini Kigali, Rwanda


Gianni Infantino amewasili mjini Kigali, Rwanda
please wait

No media source currently available

0:00 0:06:06 0:00

Rais wa shirikisho la soka duniani Gianni Infantino amewasili mjini Kigali, Rwanda kwa ajili ya kikao ambacho kina agenda za kuanzisha michuano mingine mipya licha ya kuwepo kwa upinzani mkali. Infantino ana nia ya kuanzisha kombe la dunia la vilabu ambalo litakuwa na mfumo wa kombe la dunia, na mashindano mengine ya kimataifa.

XS
SM
MD
LG