Rais Mstaafu wa Tanzania amesema jitihada za kuwashawishi serikali ya Burundi hazijafanikiwa
Kikao cha mazungumzo ya kusuluhisha mgogoro wa Burundi kimeanza leo Arusha, Tanzania bila licha ya kutokuwepo kwa wawakilishi wa serikali ya Burundi. Akifungua mazungumzo hayo msimamizi wa mgogoro wa burundi Rais Mstaafu wa Tanzania Benjamin Wiliam Mkapa amesema hadi sasa jitihada zake za kuwashawishi serikali ya Burundi kuhudhuria kikao hicho hazijafanikiwa.
Matukio
-
Februari 10, 2023
Hotuba ya Hali ya Kitaifa: Biden azungumzia mvutano na China
-
Februari 06, 2023
Marekani: Rais Biden atatoa Hotuba ya Hali ya Kitaifa 2023
Facebook Forum