Rais Mstaafu wa Tanzania amesema jitihada za kuwashawishi serikali ya Burundi hazijafanikiwa
Kikao cha mazungumzo ya kusuluhisha mgogoro wa Burundi kimeanza leo Arusha, Tanzania bila licha ya kutokuwepo kwa wawakilishi wa serikali ya Burundi. Akifungua mazungumzo hayo msimamizi wa mgogoro wa burundi Rais Mstaafu wa Tanzania Benjamin Wiliam Mkapa amesema hadi sasa jitihada zake za kuwashawishi serikali ya Burundi kuhudhuria kikao hicho hazijafanikiwa.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.