Rais Mstaafu wa Tanzania amesema jitihada za kuwashawishi serikali ya Burundi hazijafanikiwa
Kikao cha mazungumzo ya kusuluhisha mgogoro wa Burundi kimeanza leo Arusha, Tanzania bila licha ya kutokuwepo kwa wawakilishi wa serikali ya Burundi. Akifungua mazungumzo hayo msimamizi wa mgogoro wa burundi Rais Mstaafu wa Tanzania Benjamin Wiliam Mkapa amesema hadi sasa jitihada zake za kuwashawishi serikali ya Burundi kuhudhuria kikao hicho hazijafanikiwa.
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum