Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 03:20

Hofu ya wizi wa mtihani nchini Kenya inaendelea kuongezeka


Hofu ya wizi wa mtihani nchini Kenya inaendelea kuongezeka
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:36 0:00

Hofu ya wizi wa mtihani nchini Kenya inaendelea kuongezeka , watoto zaidi ya millioni 3 wakitarajiwa kuanza kufanya mtihaniwa kitaifa mwisho wa mwezi huu. Serikali ya Kenya imetoa ilani na onyo kali kwa wazazi, walimu na wanafunzi kuwa watakaopatikana wamehusika katika wizi wa mtihani

XS
SM
MD
LG