Mgandamizo wa hewa katika kusini mashariki mwa bara la Afrika ndio sababu ya upepo mkali
Wakati msimu wa mvua za Vuli ukiripotiwa kuchelewa katika maeneo mengi nchini Tanzania, taarifa toka mamlaka ya hali ya hewa nchini humo imeeleza kuwa kuimarika kwa mfumo wa mgandamizo wa hewa katika maeneo ya kusini mashariki mwa bara la Afrika ndio sababu ya upepo mkali katika maeneo ya bahari ya hindi hali ambayo imeonekana kwa takriban siku tatu na kusababisha kusitishwa kwa huduma za usafiri kwenda visiwani Zanzibar.
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum