Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 08:22

Duniani Leo October 24, 2018


Duniani Leo October 24, 2018
please wait

No media source currently available

0:00 0:28:58 0:00

Baada ya kifo cha mwandishi wa habari Jamal Kashoggi katika ubalozi wa Saudia Arabia nchini Uturuki, waziri wa mambo ya nje wa marekani Mike Pompeo amesema Marekani haitotoa visa kwa waliohusika na mauwaji ya mwandishi huyo. Gavana wa Jimbo la Migori nchini Kenya ameachiliwa kwa dhamana.

XS
SM
MD
LG