Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 09:07

Hali ya usalama Beni DRC bado ni ya utata.


Hali ya usalama Beni DRC bado ni ya utata.
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:23 0:00

Kamanda wa jeshi la kulinda amani la Umoja wa mataifa MONUSCO Luteni Generali Elias Rodrigues Martins amesema hali ya Beni ni mbaya kutokana na matatizo walionayo ushirikiano na wananchi.

XS
SM
MD
LG