Abiy Ahmed aliteua mawaziri 20 katika baraza jipya la mawaziri na kumi ya hao ni wanawake
Mabadiliko ya baraza jipya la mawaziri nchini Ethiopia yaliyofanywa wiki hii na waziri mkuu Abiy Ahmed yamepongezwa na wanaharakati wa haki za wanawake nchini humo. Waziri mkuu Abiy katika mabadiliko hayo aliteua mawaziri 20 na kumi ya hao ni wanawake na baadhi yao wamepewa wizara muhimu.
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum