Wachunguzi wa Uturuki waliendelea na msako wao kwenye ubalozi wa Saudi Arabia
Wachunguzi wa Uturuki hivi leo waliendelea na msako wao kwenye ubalozi mdogo wa Saudi Arabia mjini Istanbul na kwenye nyumba ya karibu ya ubalozi huo ili kufahamu nini kilimtokea mwandishi wa habari, Jamal Khashoggi. Khashoggi hajulikani alipo tangu alipoingia ubalozini hapo Oktoba mbili.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.