Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 19, 2024 Local time: 13:55

Wachunguzi wa Uturuki waliendelea na msako wao kwenye ubalozi wa Saudi Arabia


Wachunguzi wa Uturuki waliendelea na msako wao kwenye ubalozi wa Saudi Arabia
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:53 0:00

Wachunguzi wa Uturuki hivi leo waliendelea na msako wao kwenye ubalozi mdogo wa Saudi Arabia mjini Istanbul na kwenye nyumba ya karibu ya ubalozi huo ili kufahamu nini kilimtokea mwandishi wa habari, Jamal Khashoggi. Khashoggi hajulikani alipo tangu alipoingia ubalozini hapo Oktoba mbili.

XS
SM
MD
LG