Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 15:01

Habari mbalimbali ulimwenguni wa michezo


Habari mbalimbali ulimwenguni wa michezo
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:37 0:00

Licha ya chombo cha kupambana na dawa za kuchochea misuli michezoni kuwasafisha baadhi ya wanariadha wa Kenya juma la jana, kufungiwa miaka minne kwa mwanariadha wa mbio ndefu Samuel Kalalei kumezusha wasiwasi kwa kashfa hiyo kuigubika Kenya.

XS
SM
MD
LG