No media source currently available
Waziri wa zamani katika serikali ya Nigeria Obiagel Ezekwesili , ambaye pia ni mwakilishi wa kundi la uelewa kuhusu wasichana zaidi ya 200 waliotekwa na Boko Haram mwaka 2014, anapanga kuwa rais wa kwanza mwanamke nchini Nigeria.
Ona maoni
Facebook Forum