Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 26, 2024 Local time: 03:52

Upinzani watangaza ushindi nchini Cameroon.


Upinzani watangaza ushindi nchini Cameroon.
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:06 0:00

Mgombea wa upinzani nchini Cameroon amejitangazia ushindi katika uchaguzi wa urais wakati kura bado zinaendela kuhesabiwa. Maurice Kamto kutoka chama cha Resistance Movement hajatoa matokeo yoyote kuthibitisha madai yake.

XS
SM
MD
LG