Baada ya makubaliano kadhaa ya kuleta amani nchini Sudan Kusini kufikiwa , sasa mchezo wa soka unaanza kutumika kuleta amani nchini humo. Mo Farah Uingereza ashinda mbio za ndefu za Chicaco kwa upande wa wanaume na wanawake Brigid Kosgei kutoka Kenya alishinda kwa upande wa wanawake.