Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Machi 28, 2023 Local time: 14:31

Benki ya dunia imezuiya mkopo wa dola milioni 50 kwa Tanzania


Benki ya dunia imezuiya mkopo wa dola milioni 50 kwa Tanzania
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:20 0:00

Siku chache toka kusambaa kwa taarifa kuwa benki ya dunia imezuiya mkopo wa dola milioni 50 kwa Tanzania kufuatia marekebisho ya sheria ya takwimu, serikali nchini humo imeeleza kufikia makubaliano na benki hiyo juu ya mkopo wa fedha kwenda katika shughuli za masuala ya takwimu.

XS
SM
MD
LG