Duniani Leo September 28th, 2018
Tanzania yasema haiwarudishi wakimbizi wa Burundi kwao, bila idhini yao. Waziri wa mambo ya nje wa Tanzania Augustine Mahiga aliyasema hayo alipohojiwa na sauti ya Amerika katika mkutano mkuu wa umoja wa mataifa unaofanyika New York. Filamu ya wakimbizi kuonyeshwa katika festival nchini Kenya.
Matukio
-
Machi 14, 2025Changamoto za ulezi wa watoto walemavu kiakili Kenya
-
Februari 27, 2025Ethiopia na Somalia waimarisha uhusiano wao
-
Februari 25, 2025Tunamulika umuhimu wa utunzaji afya ya moyo
-
Februari 07, 2025Ugonjwa wa kifafa na changamoto zake katika jamii.