Duniani Leo September 28th, 2018
Tanzania yasema haiwarudishi wakimbizi wa Burundi kwao, bila idhini yao. Waziri wa mambo ya nje wa Tanzania Augustine Mahiga aliyasema hayo alipohojiwa na sauti ya Amerika katika mkutano mkuu wa umoja wa mataifa unaofanyika New York. Filamu ya wakimbizi kuonyeshwa katika festival nchini Kenya.
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum