No media source currently available
Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA , kieamua kucukua uamuzi wa kutoshiriki katika chaguzi ndogo zilizotangazwa na tume ya taifa ya uchaguzi nchini humo ambazo zimepangwa kufanyika mwezi ujao.