Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 12:35

Uhuru Kenyatta apunguza kodi ya mafuta


Uhuru Kenyatta apunguza kodi ya mafuta
please wait

No media source currently available

0:00 0:00:58 0:00

Rais wa Kenya Uhuru Kenyata amekataa kusaini mswada wa fedha kama ulivyowakilishwa kwake , na badala yake kuurudisha bungeni kwa pendekezo la kupunguzwa ushuru wa VAT kutoka asilimia 16 hadi asilimia 8.

XS
SM
MD
LG