Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 09:37

Mkutano kati ya viongozi wa bara la Afrika na China


Mkutano kati ya viongozi wa bara la Afrika na China
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:37 0:00

Mkutano kati ya viongozi wa bara la Afrika na China, mjini Beijing China, umemalizika kwa ahadi kuu ya China kwamba ufadhili wake barani Afrika hauna masharti yoyote na kwamba China itaendelea kufadhili maendeleo barani humo ili kuleta maendeleo ya kasi.

XS
SM
MD
LG