Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 04:19

Muungano wa haki ya kupata habari nchini Tanzania umetoa taarifa kuhusu Ukandamizwaji wa vyombo vya habari


Muungano wa haki ya kupata habari nchini Tanzania umetoa taarifa kuhusu Ukandamizwaji wa vyombo vya habari
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:58 0:00

Muungano wa haki ya kupata habari nchini Tanzania umetoa taarifa kuhusu Ukandamizwaji wa vyombo vya habari na usalama wa waandishi wa habari ambapo umeeleza kuwa hali si nzuri na kutaka serikali na wadau wengine kutazama hali hyo kwani inakwenda kinyume na katiba

XS
SM
MD
LG