Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 21:34

Mashambulizi ya Saudi Arabia nchini Yemen yakiuka haki za binadam


Mashambulizi ya Saudi Arabia nchini Yemen yakiuka haki za binadam
please wait

No media source currently available

0:00 0:01:14 0:00

Wataalamu wa haki za binadam wa umoja wa mataifa wanasema kwamba mashambulizi ya ndege yanayofanywa na ushirika unaongozwa na Saudi Arabia katika vita vya Yemen, yanaweza kufika kiwango cha uhalifu wa vita.

XS
SM
MD
LG