Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Aprili 24, 2024 Local time: 01:06

Donald Trump amewashitua wengi alipoacha kuzungumzia masaibu yanayomwandama aliyekuwa meneja wake wa kampeni katika uchaguzi wa mwaka 2016


Donald Trump amewashitua wengi alipoacha kuzungumzia masaibu yanayomwandama aliyekuwa meneja wake wa kampeni katika uchaguzi wa mwaka 2016
please wait

No media source currently available

0:00 0:00:58 0:00

Rais wa marekani Donald Trump amewashitua wengi alipoacha kuzungumzia masaibu yanayomwandama aliyekuwa meneja wake wa kampeni katika uchaguzi wa mwaka 2016, Paul Manafort, baada ya kukutwa na hatia ya mashtaka manane kati ya 18, yakiwemo udanganyifu wa kukwepa kodi

XS
SM
MD
LG