Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 12:52

Wachambuzi wanasema huenda mkataba wa Amani wa Sudan kusini ukadumu kwa mda mrefu.


Wachambuzi wanasema huenda mkataba wa Amani wa Sudan kusini ukadumu kwa mda mrefu.
please wait

No media source currently available

0:00 0:03:19 0:00

Wiki moja baada ya viongozi wa sudan kusini kusaini mkataba upya wa kusitisha vita nchini mwao, wachambuzi wa siasa na usalama wanasema kwamba huenda mkataba huo ukadumu kwa mda mrefu kinyume na hofu ya wengi.

XS
SM
MD
LG