No media source currently available
Siku tatu za maombolezo zimetangazwa nchini Ugiriki kufuatia tukio la moto ambalo limeua watu 74 huku serikali ikisema kwamba kuna uwezekano mkubwa kwamba watu wengi Zaidi wakawa wamefariki katika kisa hicho ambacho kimeacha huzuni kwa nchi nzima.