Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Februari 16, 2025 Local time: 12:24

Wakimbizi wa Kirundi waelekea Rwanda kutoka kambi ya Kamanyola DRC

Wakimbizi wa kirundi waliokataa kujiandikisha kupitia mitambo mipya ya elektroniki ya Biometric ya UNHCR na kupoteza hadhi zao za ukimbizi DRC, waliamua kuelekea Rwanda siku ya Jumatano March 7 2018.

Pandisha zaidi

Makundi

XS
SM
MD
LG