Bajeti ya Marekani kwenye misaada ya kimataifa na diplomasia
Wiki hii katika Washington Bureau Mary Mgawe anaangalia bajeti mpya ya Marekani ambayo inaonekana kukata misaada kwa misaada ya nchi za mambo ya diplomasia. Vile vile ikiwa ndio mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani unaelekea kuisha, wiki hii Washington Bureau inatazama hali ya wanamichezo.
Matukio
-
Januari 21, 2021
Sherehe za kuapishwa Joseph Biden Rais wa 46 wa Marekani
-
Januari 16, 2021
Timu ya watafiti kutoka WHO ikiwasili Wuhan
-
Desemba 23, 2020
Malori ya Uingereza yazuiwa kuingia Ufaransa
-
Desemba 18, 2020
Kilichopatikana miaka 10 baada ya mapinduzi ya nchi za Kiarabu
Facebook Forum