Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 20:39

Raila akaribisha hatua ya Kenyatta kuhusu tume ya IEBC


Uhuru Kenyatta (kulia) na Riala Odinga (kushoto)
Uhuru Kenyatta (kulia) na Riala Odinga (kushoto)

Baada ya rais wa Kenya Uhuru Kenyatta kutangaza kwamba muungano wa kisiasa wa Jubilee umeteua wajumbe kumi na mmoja ili kujadili hatima ya tume ya uchaguzi na mipaka nchini humo IEBC, Kiongozi wa muungano wa upinzani Raila Odinga, aliwahutububia waandishi wa habari mjini Nairobi siku ya Alhamisi. BMJ Muriithi amezungumza na mwandishi wa VOA mjini Nairobi, Moses Wangwa..

please wait

No media source currently available

0:00 0:03:30 0:00
Kiungo cha moja kwa moja

XS
SM
MD
LG