Rais wa Ukraine aondolewa madarakani na bunge huku wananchi wachukua udhibiti wa ikulu na afisi zote za serikali.
Waandamanaji wa upinzani wachukua udhibiti wa ikulu Ukraine
5
Wapinzani waonekana wakisafirishwa nadni ya lori inayoonekana ni la jeshi kati kati ya Kyiv.
6
Waandamanaji washika zamu mbele ya jengo la afisi ya rais baada ya kuondoka kwa vikosi vya usalama kati kati ya Kyiv.
7
Kiongozi moja wapo wa upinzani na mkuu wa chama cha UDAR (Punch) Vitaly Klitschko (kushoto) asalimiana na wapinzani wa serikali nje ya jengo la Bunge mjini Kyiv.
8
Watu wajadiliana mbele ya bango kubwa linaloonesha kiongozi wa upinzani wa Ukraine, Tymoshenko, kati kati ya Kiev
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017