Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Desemba 05, 2025 Local time: 15:59

Wanamgambo wa kiislamu wavamia maduka ya westgate Nairobi

Mwishoni mwa wiki wanamgambo wanaosadikiwa kuwa al- shabab walivamia maduka ya kifahari ya westgate mall mjini Nairobi. watu zaidi ya 60 wamekufa na wengine zaidi ya 175 wamejeruhiwa.

Makundi

XS
SM
MD
LG