Maafisa wa usalama wamechukua udhibiti wa soko kuu la biasahra la Westgate Shopping Centre mjini Nairobi Septemba 21, 2013. Washambulizi wakiwa na bunduki walishambulia soko hilo lenya maduka ya kifahari siku ya jumamosi na kuwauwa takriban watu 30, katika kile maafisa wa Kenya wanaeleza ni shambulio la kigaidi. Tahadhari kuna picha za kustusha.
Soko kuu la Westgate mjini Nairobi lashambuliwa
9
Polisi wenye bunduki wanawatafuta washambuliaji wnye silaha ndani ya soko la Westgate wliloshambulia jumamosi mjini Nairobi, Septemba 21, 2013.
10
Mwili wa mtu aliyeuliwa nje ya soko kuu la Westgate Mall, lenye maduka ya kifahari mjini Nairobi, Kenya unaonekana siku ya jumamosi Sept. 21 2013, ambako kulitokea shambulio la bunduki na mripuko wa grunetti, kufuatana na polisi.
11
Голова бойовиків ДНР Захарченко біля "ЦВК"
12
Burkina Faso's military chief General Honore Traore
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017