Raia wa Mali sasa wanajiandaa kufanya uchaguzi mkuu.
Mali yajiandaa kufanya uchaguzi mkuu.
5
Kabila la wawindaji walioko Mali wanaoitwa Dogon Hunters wakifyatua bunduki kumkaribisha mgombea urais Ibrahim Boubacar Keita katika mkutano wa kampeni.
6
Mgombea urais Ibrahim Boubacar Keita akizungumza katika mkutano wa kampeni kwenye mji wa Bamako, Mali, Julai 21 2013.
7
Mgombea urais Soumaila Cisse akipunga mkono kwa wafuasi wake kwenye kampeni huko Bamako Julai 20, 2013.
8
Wanawake na wasichana wakiwa wamevalia nguo zilizotengenezwa kwa kitambaa cha Wax wakiwa wamembeba mtoto aliyevalia nguo yenye picha ya mgombea urais Soumaila Cisse.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017