Watu watatu wameuwawa na takriban 100 kujeruhiwa baada ya mabomu mawili kulipuka karibu na eneo la kumaliza mbio za 117 za Boston marathon.
Milipuko miwli yatokea wakati wa mbio ndefu za Boston marathon
5
Wafanyakazi wa afya wanasukuma gari la mgonjwa wakimpeleka mtu aliyejeruhiwa kwenye eneo la hema ya huduma za dharura upande wa pili wa eneo la kumaliza mbio za Marathon za Boston. Aprili 15, 2013.
6
Wafanyakazi wa afya wanasukuma gari la mgonjwa wakimpeleka mwanamke aliyejeruhiwa kwenye eneo la hema ya huduma za dharura upande wa pili wa eneo la kumaliza mbio za Marathon za Boston. Aprili 15, 2013..
7
Mkimbiaji wa Marathon asiyejulikana akiondoka kwenye mashindano akilia karibu na uwanja wa Copley baada ya milipuko huko Boston, Aprili 15, 2013.
8
Wafanyakazi wa huduma za afya wakiwasaidia watu baada ya mlipuko.April 15, 2013.
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017