Kanumbwa aagwa na maelfu ya mashabiki
Maelfu na maelfu ya watu walijitokeza Jumanne kumwaga msani mashuhuri Steven Charles Kanumba mjini Dar es Salaam
9
Viongozi wa serikali akiwemo Makamu wa Rais, Gharib Bilal (wa tatu kulia) wakisubiri kuwasili kwa mwili wa Kanumba.
10
Mke wa Rais, Salma Kikwete, akiwa msibani.
11
Baadhi ya waombolezi walopoteza fahamu wakati wa mazishi ya s Kanumba
12
Waombolezaji wakilizuia gari lenye mwili wa marehemu wakati wa safari ya kuelekea makaburini
Makundi
- Afrika
- Marekani
- Afya
- Hali ya HIV/Ukimwi Afrika
- Uchaguzi Kenya 2013
- Kesi za Wakenya Mbele ya ICC
- Fainali za Kombe la Afrika 2015
- Ziara ya Rais Obama Kenya, Julai 23-26
- Tanzania Yaamua 2015
- Uchaguzi Marekani 2016
- Ziara ya Papa barani Afrika
- Uchaguzi Uganda 2016
- Mauaji Orlando
- YALI 2016
- Rio 2016
- AFCON 2017