Kanumbwa aagwa na maelfu ya mashabiki
Maelfu na maelfu ya watu walijitokeza Jumanne kumwaga msani mashuhuri Steven Charles Kanumba mjini Dar es Salaam
9
Viongozi wa serikali akiwemo Makamu wa Rais, Gharib Bilal (wa tatu kulia) wakisubiri kuwasili kwa mwili wa Kanumba.
10
Mke wa Rais, Salma Kikwete, akiwa msibani.
11
Baadhi ya waombolezi walopoteza fahamu wakati wa mazishi ya s Kanumba
12
Waombolezaji wakilizuia gari lenye mwili wa marehemu wakati wa safari ya kuelekea makaburini