Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Desemba 17, 2025 Local time: 14:07

Sierra Leone: wathiriwa wa vita

Rais wa zamani wa Liberia Charles Taylor amepatikana na hatia ya uhalifu na uhalifu dhidi ya binadamu na mahakama maalum huko The Hague kwa ajili ya jukumu lake katiika vita vya miaka 11 vya Sierra Leone kati ya 1991-2002 lna kusababisha vifo vya maelfu ya watu.


Makundi

XS
SM
MD
LG