Ziara ya Janet Kabila jimboni Oriental DRC
Janet Kabila mkuu wa Wakfuu wa Laurent d. Kabila alitembelea majimbo ya Kivu na Oriental kutowa misaada kwa awathiriwa wa vita na ubakaji.
![Janet Kabila akizungumza na waandishi habari wakati wa ziara yake jimboni Oriental](https://gdb.voanews.com/61647284-2b2c-4b8e-87a3-c24148dc79e5_w1024_q10_s.jpg)
1
Janet Kabila akizungumza na waandishi habari wakati wa ziara yake jimboni Oriental
![Janet Kabila akitowa msaada kwa waathiriwa wa vita katika kijiji cha Uele ya Juu, jimboni Oriental](https://gdb.voanews.com/bf7c5c87-2d67-42ce-b954-9218f3483314_w1024_q10_s.jpg)
2
Janet Kabila akitowa msaada kwa waathiriwa wa vita katika kijiji cha Uele ya Juu, jimboni Oriental
![Janet Kabila akimsaidia mama mmoja aliyepokea msaada kutoka wakfuu ya Laurent Kabila Uele ya Juu jimboni Oriental](https://gdb.voanews.com/a40d77ed-98ae-4b69-b051-4bcae7f8e48a_w1024_q10_s.jpg)
3
Janet Kabila akimsaidia mama mmoja aliyepokea msaada kutoka wakfuu ya Laurent Kabila Uele ya Juu jimboni Oriental
![Janet Kabila akizungumza na mzee wa kijiji cha Uele ya JUu alipokuwa anatoa msaada kutoka wakfuu ya babake](https://gdb.voanews.com/c55dc4a1-d938-4607-8d7b-9d93438794ac_w1024_q10_s.jpg)
4
Janet Kabila akizungumza na mzee wa kijiji cha Uele ya JUu alipokuwa anatoa msaada kutoka wakfuu ya babake