Ziara ya Janet Kabila jimboni Oriental DRC
Janet Kabila mkuu wa Wakfuu wa Laurent d. Kabila alitembelea majimbo ya Kivu na Oriental kutowa misaada kwa awathiriwa wa vita na ubakaji.

1
Janet Kabila akizungumza na waandishi habari wakati wa ziara yake jimboni Oriental

2
Janet Kabila akitowa msaada kwa waathiriwa wa vita katika kijiji cha Uele ya Juu, jimboni Oriental

3
Janet Kabila akimsaidia mama mmoja aliyepokea msaada kutoka wakfuu ya Laurent Kabila Uele ya Juu jimboni Oriental

4
Janet Kabila akizungumza na mzee wa kijiji cha Uele ya JUu alipokuwa anatoa msaada kutoka wakfuu ya babake