Wataalamu wa uchumi Tanzania wanaishauri serikali nchini humo kubuni mikakati thabiti ya kudhibiti ongezeko la bei za nafaka
Mhadhiri msaidizi kitivo cha usimamizi wa biashara chuo kikuu huria cha Tanzania Vicent Stanslaus amesema serikali inahitaji kuwekeza katika kilimo cha umwagiliaji ambacho hakitategemea mvua pamoja na kujenga viwanda vya mbolea nchini ili kuwasaidia wakulima kurahisisha kilimo na kupunguza gharama
-
29:59
1 saa moja iliyopitaKwa Undani
-
29:59
Desemba 05, 2025VOA Express
-
29:59
Desemba 04, 2025Kwa Undani
-
29:59
Desemba 04, 2025VOA Express
-
29:59
Desemba 03, 2025Kwa Undani
-
29:59
Desemba 03, 2025VOA Express
-
29:58
Desemba 02, 2025Kwa Undani
-
30:00
Desemba 02, 2025VOA Express
-
29:59
Desemba 01, 2025Kwa Undani
-
29:59
Desemba 01, 2025VOA Express
-
29:59
Novemba 30, 2025Je Nifanyeje?
-
30:00
Novemba 29, 2025Je Nifanyeje?