Wataalamu wa uchumi Tanzania wanaishauri serikali nchini humo kubuni mikakati thabiti ya kudhibiti ongezeko la bei za nafaka
Mhadhiri msaidizi kitivo cha usimamizi wa biashara chuo kikuu huria cha Tanzania Vicent Stanslaus amesema serikali inahitaji kuwekeza katika kilimo cha umwagiliaji ambacho hakitategemea mvua pamoja na kujenga viwanda vya mbolea nchini ili kuwasaidia wakulima kurahisisha kilimo na kupunguza gharama
-
29:56
Machi 05, 2026Kwa Undani
-
29:59
Machi 05, 2026VOA Express
-
29:59
Machi 04, 2026Kwa Undani
-
29:57
Machi 04, 2026VOA Express
-
29:59
Machi 03, 2026Kwa Undani
-
29:59
Machi 03, 2026VOA Express
-
29:59
Machi 02, 2026Kwa Undani
-
30:00
Machi 02, 2026VOA Express
-
29:59
Machi 01, 2026Je Nifanyeje?
-
29:59
Februari 28, 2026Je Nifanyeje?
-
29:18
Februari 27, 2026Kwa Undani
-
29:59
Februari 27, 2026VOA Express