Wataalamu wa uchumi Tanzania wanaishauri serikali nchini humo kubuni mikakati thabiti ya kudhibiti ongezeko la bei za nafaka
Mhadhiri msaidizi kitivo cha usimamizi wa biashara chuo kikuu huria cha Tanzania Vicent Stanslaus amesema serikali inahitaji kuwekeza katika kilimo cha umwagiliaji ambacho hakitategemea mvua pamoja na kujenga viwanda vya mbolea nchini ili kuwasaidia wakulima kurahisisha kilimo na kupunguza gharama
-
29:55
Desemba 19, 2025Kwa Undani
-
29:56
Desemba 19, 2025VOA Express
-
29:55
Desemba 18, 2025Kwa Undani
-
29:56
Desemba 18, 2025VOA Express
-
29:55
Desemba 17, 2025Kwa Undani
-
29:56
Desemba 17, 2025VOA Express
-
29:59
Desemba 16, 2025Kwa Undani
-
29:57
Desemba 16, 2025VOA Express
-
29:59
Desemba 15, 2025Kwa Undani
-
29:59
Desemba 15, 2025VOA Express
-
29:59
Desemba 14, 2025Je Nifanyeje?
-
29:59
Desemba 13, 2025Je Nifanyeje?