Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Machi 29, 2023 Local time: 06:55

Zelenskyy azuru Marekani, apeleka ujumbe mzito kwa Putin


Zelenskyy azuru Marekani, apeleka ujumbe mzito kwa Putin
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:31 0:00

Rais wa Marekani Joe Biden amemkaribisha Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy White House katika ziara ya kushangaza iliyopangwa kupeleka ujumbe kwa Rais wa Russia Vladimir Putin kwamba Marekani itakuwa na Ukraine kwa muda mrefu ujao.

XS
SM
MD
LG