Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 29, 2025 Local time: 23:55

Mwanaharakati kutoka Kenya ashinda tuzo ya amani


Bi Maimuna Siraj akiwa kwenye kongamano.
Bi Maimuna Siraj akiwa kwenye kongamano.

Mchango wa wanawake katika kuleta amani na kuzuia mizozo Afrika na hata ulimwenguni umetajwa na wadau pamoja na mashirika ya Umoja wa Mataifa kama muhimu hasa ikibainika kuwa wengi ya wale wanaoumia wakati wa mizozo ya kivita ni wanawake na watoto.

Katika kipindi cha Dunia ya Wanawake wiki hii mwandishi wetu wa Mombasa Amina Chombo , anaripoti kuhusu mchango wa wanawake katika swala la amani akimuangazia bi Maimuna Siraj ambaye amepokea tuzo mbali mbali kufuatia uanaharakati wa amani kupitia mtandao wa kijamii .

Bi Maimuna Siraj akitoa ushauri kwa vijana
Bi Maimuna Siraj akitoa ushauri kwa vijana

Kuibuka kwa mitandao ya kijamii kunaelezewa ni moja ya mbinu za kueneza amani, ambazo wanawake wanatumia.

Mwanaharakati kutoka Kenya ashinda tuzo ya amani
please wait

No media source currently available

0:00 0:05:30 0:00

XS
SM
MD
LG