Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 15:14

Wizara ya Afya DRC yaanza rasmi zoezi la chanjo ya COVID-19


Wizara ya Afya DRC yaanza rasmi zoezi la chanjo ya COVID-19
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:45 0:00

Wizara ya Afya nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeanza rasmi kuwapatia chanjo wananchi wa jimbo la Kivu Kaskazini.

XS
SM
MD
LG