Baadhi ya watu walikuwa wanasubiri kwa saa kadhaa hadi milango ilipofunguliwa.Papa mstaafu huyo alifariki Jumamosi asubuhi akiwa na umri wa miaka 95. Benedict alikuwa ni papa wa kwanza katika miaka 600 kustaafu kutoka wadhifa wake huo.
Matukio
-
Machi 05, 2024
Je, nini Super Tuesday?
-
Machi 05, 2024
Misaada ya kimataifa yaanza kuwasili Sudan
-
Februari 12, 2024
Polisi wapambana na waandamanai Kinshasa
-
Februari 06, 2024
Polisi wavambia bunge la Senegal na kuwaondoa wabunge wa upinzani.