Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 13:36

Waumini wajitokeza St Peter kuuaga mwili wa hayati Papa Benedict


Waumini wajitokeza St Peter kuuaga mwili wa hayati Papa Benedict
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:59 0:00

Waumini wanajipanga mistari katika Kanisa la St. Peter Jumatatu kutoa heshima zao za mwisho kwa Papa Benedict ambaye mwili wake umewekwa katika eneo hilo.

Baadhi ya watu walikuwa wanasubiri kwa saa kadhaa hadi milango ilipofunguliwa.Papa mstaafu huyo alifariki Jumamosi asubuhi akiwa na umri wa miaka 95. Benedict alikuwa ni papa wa kwanza katika miaka 600 kustaafu kutoka wadhifa wake huo.

XS
SM
MD
LG