Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 12:52

Watu milioni 346 waathiriwa na ukosefu wa usalama wa chakula Afrika - ICRC


Watu milioni 346 waathiriwa na ukosefu wa usalama wa chakula Afrika - ICRC
please wait

No media source currently available

0:00 0:04:49 0:00

Watu zaidi ya milioni 346 wameathiriwa na ukosefu wa usalama wa chakula ambapo ni robo ya idadi ya watu barani Afrika, Mkuu wa Operesheni za Ulimwengu, Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu ,ICRC, anaeleza, ikiwa ni matokeo ya athari mchanganyiko wa mizozo mbalimbali. 

Mashirika yanaweka kipaumbele wa msaada wa chakula kwa familia nyingi zilizo katika mazingira hatarishi wakati idadi ndogo ya wakimbizi wanaohitaji misaada imeongezeka pamoja na mwanya kati ya rasilmali na mahitaji, huku idadi ya wakimbizi ikiongezeka Afrika Mashariki kufikia milioni 5 hivi sasa.

XS
SM
MD
LG