Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Julai 13, 2025 Local time: 10:45

Watu 40 wafariki India kutokana na mafuriko


Watu wakipitia barabara iliyofurika maji kutoka kwenye mto Musi baada ya mvua kubwa kunyesha huko Hyderabad, India.Jumatano July 27, 2022. (Picha AP /Mahesh Kumar A.)
Watu wakipitia barabara iliyofurika maji kutoka kwenye mto Musi baada ya mvua kubwa kunyesha huko Hyderabad, India.Jumatano July 27, 2022. (Picha AP /Mahesh Kumar A.)

Mvua kubwa imesababisha mafuriko ambayo yameua watu 40 kaskazini mwa India.

Mvua kubwa imesababisha mafuriko ambayo yameua watu 40 kaskazini mwa India.

Watu kadhaa hawajulikani walipo.

Taarifa ya serikali imesema kwamba karibu watu 36 waethibitishwa kufariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi katika eneo la Himalaya, jimbo la Himachal Pradesh, katika muda wa siku tatu.

Watu wanne wamefariki katika jimbo la Uttarakhand, na 13 wengine hawajulikani walipo baada ya mito kuvunja kingo na maji kuingia kwenye makaazi ya wat una kusababisha uharibifu mkubwa.

XS
SM
MD
LG