Idadi ya watu ambao wamefariki kutokana na tetemeko la ardhi nchini Uturuki imefikia watu 31, 974.
Idhara inayosimamaia majanga ya Uturuki imesema Jumanne kwamba karibu watu 195, 962 wameokolewa kusini mwa Uturuki na kupelekwa sehemu salama.
Idadi ya watu ambao wamefariki kutokana na tetemeko la ardhi nchini Uturuki imefikia watu 31, 974.
Idhara inayosimamaia majanga ya Uturuki imesema Jumanne kwamba karibu watu 195, 962 wameokolewa kusini mwa Uturuki na kupelekwa sehemu salama.
Facebook Forum