Maandamano yalizuka baada ya kifo cha Mahsa Amini aliyekuwa mikononi mwa polisi Septemba 16, 2022, binti huyo alikuwa na umri wa miaka 22 mwenye asili ya Kikurdi na alikamatwa kwa shutuma za kukiuka sheria za mavazi za Jamuhuri hiyo ya kislamu.
Wizara imesema katika siku za karibuni mfululizo wa oparesheni kali katika majimbo ya Teheran, Alborz, na Azerbaijan magharibi, vituo kadhaa vya magaidi na nyumba zimeshambuliwa ambapo wanachama 28 wa mtandao huo wa kigaidi 28.
Wizara ya ujajusi pia imesema maafisa wawili wa usalama walijeruhiwa wakati wa oparesheni ya ukamataji watu hao, na idadi kadhaa ya mabomu, bunduki, koti za kuvalia mabomu ya kujitoa muhanga na vifaa vya mawasiliano vilikamatwa.
Forum