No media source currently available
Wasifu wa rais wa 45 wa Marekani, mrepublican Donald J. Trump ambaye anawania kuchaguliwa tena katika uchaguzi wa rais Novemba 3 akiwa na anakabiliwa na ushindani mkali kutoka kwa hasimu wake wa kisiasa, makamu rais wa zamani, Mdemocrat Joe Biden.