Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 11:00

Wananchi wa Myanmar waendelea kupinga mapinduzi ya kijeshi


Wananchi wa Myanmar waendelea kupinga mapinduzi ya kijeshi
please wait

No media source currently available

0:00 0:02:03 0:00

Maelfu ya waandamanaji wameandamana Myanmar kwa siku ya tatu maeneo mbalimbali nchini Myanmar kupinga mapinduzi ya kijeshi na kuwekwa kizuizini kwa kiongozi wa kiraia Aung San Suu Kyi na maafisa wengine wa serikali.

XS
SM
MD
LG